Acts 24:10

Paulo Ajitetea Mbele Ya Feliksi

10 aMtawala Feliksi alipompungia Paulo mkono ili ajitetee, yeye akajibu, “Najua kwamba wewe umekuwa hakimu katika taifa hili kwa miaka mingi, hivyo natoa utetezi wangu kwa furaha.
Copyright information for SwhNEN